Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 114
  • “Iweni na Subira”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Iweni na Subira”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Endelea Kuwa Mwenye Subira
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 114

WIMBO NA. 114

“Iweni na Subira”

(Yakobo 5:8)

  1. 1. Yehova, Baba yetu,

    Anapenda jina lake.

    Ataka litakaswe,

    Lawama liondolewe.

    Kavumilia mengi,

    Tena muda mrefu;

    Ana subira nyingi,

    Hajachoka kamwe.

    Ataka watu wote

    Wapate kuokolewa.

    Aonyesha subira,

    Kwa faida yetu sote.

  2. 2. Nasi tunahitaji,

    Kuionyesha subira.

    Ghadhabu tuepuke.

    Tukae kwa utulivu.

    Tuzingatie mema,

    Wafanyayo wengine.

    Tutumaini mema,

    Japo matatizo.

    Na sifa za Kikristo,

    Tuonyeshe sikuzote.

    Na kwa kufanya hivyo,

    Tumuige Mungu wetu.

(Ona pia Kut. 34:14; Isa. 40:28; 1 Kor. 13:​4, 7; 1 Tim. 2:4.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki