Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 76
  • Unahisije?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Unahisije?
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Mhakikishe Mambo Muhimu Zaidi”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kufurahisha Moyo wa Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 76

WIMBO NA 76

Unahisije?

(Waebrania 13:15)

  1. 1. We‘ unahisije

    kuhusu kuhubiri?

    Kuwafundisha watu

    wanaopendezwa?

    Ujitahidipo

    Kutimiza huduma

    Na Yehova afanye

    kazi ya kukuza.

    (KORASI)

    Tuna shangwe, twafurahi

    kujitoa kikamili.

    Basi tumsifu Mungu.

    Daima dawamu.

  2. 2. We‘ unahisije

    wanaposikiliza?

    Wanapoitikia

    ujumbe wa kweli?

    Hata wakatae

    bado twautangaza.

    Twafurahi kuitwa kwa

    jina la Mungu.

    (KORASI)

    Tuna shangwe, twafurahi

    kujitoa kikamili.

    Basi tumsifu Mungu.

    Daima dawamu.

  3. 3. We‘ unahisije

    kuwa na pendeleo,

    Alilotupa Mungu

    la kumwakilisha?

    Tunajivunia

    kutangaza Ufalme

    Kuwatafuta watu

    wanaostahili.

    (KORASI)

    Tuna shangwe, twafurahi

    kujitoa kikamili.

    Basi tumsifu Mungu.

    Daima dawamu.

(Ona pia Mdo. 13:48; 1 The. 2:4; 1 Tim. 1:11.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki