Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Amosi—Yaliyomo

      • Amosi apokea ujumbe kutoka kwa Yehova (1, 2)

      • Wahukumiwa kwa sababu ya kuasi tena na tena (3-15)

        • Siria (3-5), Ufilisti (6-8), Tiro (9, 10), Edomu (11, 12), Amoni (13-15)

Amosi 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Kuwa Mzigo” au “Kubeba Mzigo.”

Marejeo

  • +2Nya 11:5, 6
  • +2Nya 26:1, 3, 4; Isa 1:1
  • +2Fa 14:23, 24; Ho. 1:1; Amo 7:10
  • +2Fa 13:10, 11
  • +Zek 14:5

Amosi 1:2

Marejeo

  • +Isa 33:9; Nah 1:4

Amosi 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matendo matatu ya uhalifu.”

Marejeo

  • +2Fa 8:12; 10:32, 33; 13:7

Amosi 1:4

Marejeo

  • +1Fa 19:15
  • +Yer 49:27

Amosi 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yule anayeshika fimbo ya ufalme.”

Marejeo

  • +Isa 7:8; 8:4; 17:1
  • +2Fa 16:9

Amosi 1:6

Marejeo

  • +Eze 25:15
  • +2Nya 21:16, 17; 28:18; Yoe 3:4, 6

Amosi 1:7

Marejeo

  • +Yer 25:17, 20; 47:1; Zek 9:5

Amosi 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yule anayeshika fimbo ya ufalme.”

Marejeo

  • +Isa 20:1
  • +Yer 47:5
  • +Sef 2:4
  • +Isa 14:29; Yer 47:4; Eze 25:16, 17; Sef 2:5; Zek 9:6

Amosi 1:9

Marejeo

  • +Eze 26:2
  • +Yoe 3:4, 6

Amosi 1:10

Marejeo

  • +Eze 26:12

Amosi 1:11

Marejeo

  • +Yoe 3:19
  • +Eze 25:12
  • +2Nya 28:17; Oba 10

Amosi 1:12

Marejeo

  • +Mwa 36:10, 11; Oba 9
  • +Isa 34:5, 6; Yer 49:13

Amosi 1:13

Marejeo

  • +Eze 25:3; Sef 2:8
  • +Amu 11:12, 13; Yer 49:1

Amosi 1:14

Marejeo

  • +Yer 49:2; Eze 25:5

Amosi 1:15

Marejeo

  • +Yer 27:2, 3; 49:3

Jumla

Amo. 1:12Nya 11:5, 6
Amo. 1:12Nya 26:1, 3, 4; Isa 1:1
Amo. 1:12Fa 14:23, 24; Ho. 1:1; Amo 7:10
Amo. 1:12Fa 13:10, 11
Amo. 1:1Zek 14:5
Amo. 1:2Isa 33:9; Nah 1:4
Amo. 1:32Fa 8:12; 10:32, 33; 13:7
Amo. 1:41Fa 19:15
Amo. 1:4Yer 49:27
Amo. 1:52Fa 16:9
Amo. 1:5Isa 7:8; 8:4; 17:1
Amo. 1:6Eze 25:15
Amo. 1:62Nya 21:16, 17; 28:18; Yoe 3:4, 6
Amo. 1:7Yer 25:17, 20; 47:1; Zek 9:5
Amo. 1:8Isa 20:1
Amo. 1:8Yer 47:5
Amo. 1:8Sef 2:4
Amo. 1:8Isa 14:29; Yer 47:4; Eze 25:16, 17; Sef 2:5; Zek 9:6
Amo. 1:9Eze 26:2
Amo. 1:9Yoe 3:4, 6
Amo. 1:10Eze 26:12
Amo. 1:11Yoe 3:19
Amo. 1:11Eze 25:12
Amo. 1:112Nya 28:17; Oba 10
Amo. 1:12Mwa 36:10, 11; Oba 9
Amo. 1:12Isa 34:5, 6; Yer 49:13
Amo. 1:13Eze 25:3; Sef 2:8
Amo. 1:13Amu 11:12, 13; Yer 49:1
Amo. 1:14Yer 49:2; Eze 25:5
Amo. 1:15Yer 27:2, 3; 49:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Amosi 1:1-15

Amosi

1 Maneno ya Amosi,* aliyekuwa mmoja wa wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ aliyoyapokea katika maono kuhusu Israeli katika siku za utawala wa Mfalme Uzia+ wa Yuda na katika siku za utawala wa Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi.+ 2 Alisema:

“Yehova atanguruma kutoka Sayuni,

Naye atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu.

Malisho ya wachungaji yataomboleza,

Na kilele cha Karmeli kitakauka.”+

 3 “Yehova anasema hivi:

‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Damasko, na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu walipura Gileadi kwa vifaa vya chuma vya kupuria.+

 4 Kwa hiyo nitaishushia moto nyumba ya Hazaeli,+

Nao utateketeza kabisa minara ya Ben-hadadi yenye ngome.+

 5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+

Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveni

Na yule anayetawala* Beth-edeni;

Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’

 6 Yehova anasema hivi:

‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu walichukua kundi lote la mateka+ na kuwatia mikononi mwa Edomu.

 7 Basi nitaushushia moto ukuta wa Gaza,+

Nao utateketeza kabisa minara yake yenye ngome.

 8 Nitawaangamiza wakaaji wa Ashdodi,+

Na mtawala* wa Ashkeloni;+

Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,+

Na Wafilisti wanaobaki wataangamia,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’

 9 Yehova anasema hivi:

‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu walilitia mikononi mwa Edomu kundi lote la watu waliohamishwa,

Na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+

10 Basi nitaushushia moto ukuta wa Tiro,

Nao utateketeza kabisa minara yake yenye ngome.’+

11 Yehova anasema hivi:

‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu alimfuatia kwa upanga ndugu yake mwenyewe,+

Na kwa sababu alikataa kuonyesha rehema;

Katika hasira yake anaendelea kuwararuararua bila huruma,

Na bado anaendelea kuwakasirikia vikali.+

12 Basi nitaishushia moto Temani,+

Nao utateketeza kabisa minara ya Bosra yenye ngome.’+

13 Yehova anasema hivi:

‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Waamoni,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

Kwa sababu waliwapasua tumbo wanawake wenye mimba wa Gileadi ili wapanue eneo lao wenyewe.+

14 Basi nitaushushia moto ukuta wa Raba,+

Nao utateketeza kabisa ngome zake zenye minara,

Kwa kelele za vita katika siku ya mapigano,

Kwa tufani katika siku ya kimbunga.

15 Na mfalme wao atapelekwa uhamishoni pamoja na wakuu wake,”+ asema Yehova.’

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki