Ohinga mar Jarito LAIBRARI E INTANET
ohinga mar jarito
LAIBRARI E INTANET
Dholuo
  • MUMA
  • BUGE
  • MIKUTANO
  • km 10/06 ite mar 3-6
  • Chenro mar Skul mar Tij Nyasaye Higa 2007

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Chenro mar Skul mar Tij Nyasaye Higa 2007
  • Tijwa mar Pinyruoth—2006
  • Vichwa vidogo
  • WECHE MONEGO OLUW
  • RATIBA
  • Pitio la Maswali na Majibu
  • Pitio la Maswali na Majibu
  • Pitio la Maswali na Majibu
  • Pitio la Maswali na Majibu
  • Pitio la Maswali na Majibu
Tijwa mar Pinyruoth—2006
km 10/06 ite mar 3-6

Chenro mar Skul mar Tij Nyasaye Higa 2007

WECHE MONEGO OLUW

Mani e chenro mibiro tiyo godo e tayo Skul mar Tij Nyasaye e higa 2007.

BUGE MIBIRO TIYO GODO: Muma Maler, Mnara wa Mlinzi [w], Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi [be], “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa” (Gocho mar 1992) [si], kod Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko (Gocho mar 2004) [rs].

Skul onego ochakre E WANG’ SA kichako gi wer, lamo, kod weche mirwakogo ji, to bang’ mano otim kaka inyiso piny kae. Bang’ twak ka twak, jarit-skul biro gwelo jagol-twak maluwo.

TWAK MAR LONY E WUOYO: Dakika 5. Jarit-skul, jatieg jogol-twak, kata jaduong’-kanyakla moro amora mowinjore, biro twak e wi achiel kuom puonj mag lony e wuoyo kotiyo gi bug Shule ya Huduma. (Kama nitie jodongo manok, inyalo ti gi jokony-tich mowinjore manie kanyakla.)

TWAK NA. 1: Dakika 10. Twagni onego ogol gi jaduong’-kanyakla kata jakony-tich mowinjore, kendo en twak mitiyoe gi weche mawuok e Mnara wa Mlinzi, Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi, kata “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa.” Mani en twak ma ipuonjoe ji kuom dakika apar. Ok onego ogole mana ka inwoyo weche mondik e buk, to onego onyis kaka puonjgo tiyo, ka jagole jiwo ahinya puonj ma konyo kanyakla. Wi twak mochiw ema onego oti godo. Wageno ni owete ma omi migawoni biro temo ahinya mondo kik gikal dakika moketi. Inyalo tieg ng’at mogolo twak ka en kar kende, mondo okonye rieyo kama dwarore.

PUONJ MAYUDORE E SOMO MAR MUMA: Dakika 10. Kuom dakika abich mokwongo, jaduong’-kanyakla kata jakony-tich mowinjore, onego onyis kaka kanyakla nyalo tiyo gi ndikogo. Onyalo wuoyo e wi ndiko moro amora misomo e Muma jumano. Mani ok en mana wuoyo e yo machuok kuom sula moket ni onego osom. To gima duong’ en konyo jowinjo mondo ong’e gimomiyo kendo kaka wechego nyalo konyogi. Jagol twagni otem ahinya kik okal dakika abich moketne mar wuoyo. Onego one ni oweyo ne jowinjo dakika abich mondo gigolgo kata gichiwgo pachgi. Onego okwa jowinjo mondo ochiw pachgi e yo machuok (nus dakika kata matin ne mano) kuom puonj kata kony ma giseyudo e somo mar Muma jumano. Bang’e, jarit-skul biro gonyo jopuonjre monego odhi e klase mamoko.

TWAK NA. 2: Ok onego okal dakika 4. Mani en twak mar somo monego ogol gi owete. Japuonjre onego osom kama oyangi ma ok oloso weche mochakogo kata motiekogo. Jarit-skul biro dwaro ahinya mondo okony jopuonjre somo e yo ma miyo tiend gima gisomono winjore, ma miyo ok gichwanyre e weche ma gisomo, gijiwo weche e yo mowinjore, giloko dwondgi, gichung’ kuonde madwarore e gima gisomo, kendo wuoyo kaka gi jowuoyo pile.

TWAK NA. 3: Dakika 5. Twagni en ma imiyo nyimine. Inyalo nyis jopuonjre ma imiyo twagni yo monego gigolgo twagno kata ginyalo yiero achiel kuom yore moketi e ite mar 82 e buk mar Shule ya Huduma. Japuonjre onego oti gi wi twak ma omiye, kendo onego onyis kaka wechego inyalo ti go e yo maber kendo makonyo e tij lendo e alworagi. Ka omi japuonjre twak ma ok onyisi kama weche minyalo ti godo e golo twagno yudore, japuonjreno biro timo nonro e bugewa en owuon. Jopuonjre mapod nyien onego omi twak manyiso kama weche mitiyo godo yudore. Jarit-skul biro ng’iyo ahinya kaka japuonjre golo twagno, kendo kaka okonyo wuon ot e winjo tiend Ndiko kod thuond weche. Jarit-skul biro miyo jagol twagni ng’at machielo mondo gikonyorego.

TWAK NA. 4: Dakika 5. Japuonjre onego oti gi wi twak momiye. Ka omi japuonjre twak ma ok nyis kama weche minyalo ti godo e golo twagno yudore, japuonjreno biro timo nonro e bugewa en owuon. Ka twagni omi owete, onego gigole ne jowinjo manie Od Romo. Ka twagni omi nyimine, onego gigole kaka Twak Na. 3. Jarit-skul nyalo miyo achiel kuom owete Twak Na. 4, koneno ni onego otim kamano. Kinde duto twak moketie nyukta mar otit, onego ogol gi owete e nyim jowinjo.

CHIWO PARO MAKONYO JAPUONJRE: Dakika 1. Jarit-skul ok bi lando motelo puonj mar lony e wuoyo ma japuonjre tiegoree. Bang’ Twak Na. 2, Na. 3, kod Na. 4, jarit-skul biro chiwo paro magero kuom gigo ma japuonjre otimoe maber. Dwarone ok onego obed mana pwoyo japuonjre, to kar mano onego onyis ratiro gimomiyo yo ma japuonjre ochiwogo twagno, konyo. Kaluwore gi nyalo mar japuonjre ka japuonjre, weche mamoko magero kata makonyo inyalo chiw ka chokruogno orumo kata bang’e.

RITO SA: Twak, kata paro ma jarit-skul chiwo bang’ twak ka twak ok onego okal dakika moketi. Twak Na. 2 nyaka 4, onego ochungi e yo mowinjore ka dakikagi orumo. Kapo ni owete magolo twak mar lony e wuoyo, Twak Na. 1, kata magolo puonj mayudore e somo mar Muma okalo dakika moketi, inyalo wuo kodgi maling’ling’ kar kendgi, mondo okonygi rieyo kama dwarore. Ji duto ma nigi migawo onego otem rito sa. Program mangima en: Dakika 45, ka ok oriwo wer gi lamo.

FOM MAR PUONJ MAG TIEGRUOK: Yudore ei bug skul.

JATIEG JOGOL-TWAK: Jodong-kanyakla nyalo yiero jaduong’ machielo mowinjore mopogore gi jarit-skul, mondo oti kaka jatieg jogol-twak. Kapo ni nitie jodong-kanyakla mang’eny manyalo tiyo tijno, inyalo lok jatieg jogol-twak higa ka higa. Jatieg jogol-twak nigi migawo mar chiwo paro ka dwarore, ne owete magolo Twak Na. 1 kod magolo puonj mayudore e somo mar Muma kotiegogi maling’ling’ kar kendgi. Ok ochuno ni nyaka otim kamano kinde duto ma jodongo wetene kata jokony-tich ogolo twak.

NWOYO PUONJ MAG SKUL: Dakika 30. Bang’ dweche ariyo ka dweche ariyo, jarit-skul biro tayo chenro mar nwoyo puonj mag skul. Chenrono biro timore bang’ twag lony e wuoyo kod mar nono puonj mayudore e somo mar Muma kaka onyis malo. E chenrono, ibiro nwoyo gik ma ne opuonjruok e skul kuom dweche ariyo mokalo koda mag jumano. Ka kanyaklau nigi chokruok mar alwora e juma ma inwoyoe puonjruok mag skul, chenrono (kaachiel kod mar jumano duto) onego otim e juma maluwe, nikech chenro mar juma maluweno ibiro tim e chokruok mar alwora. Ka un gi limbe mar jarit-alwora e juma minwoyoe puonj mag skul, wer, twak mar lony e wuoyo, kod mar nono puonj mayudore e somo mar Muma onego odhi nyime kaka ochan. Twak Na. 1 (migolo bang’ twag lony e wuoyo) mar juma maluweno ema onego otim e jumb jarit-alwora. E juma maluweno, Skul mar Tij Nyasaye onego ochaki gi twak mar lony e wuoyo, twak mar nono puonj mayudore e somo mar Muma mana kaka chenro ma jumano obet, to bang’e otim chenro mar nwoyo puonj mag skul.

RATIBA

Jan. 1 Usomaji wa Biblia: Isaya 24-28 Wimbo 33

Sifa ya Usemi: Matumizi Yanayofaa ya Habari (be uku. 158 ¶1-3)

Na. 1: Kutayarisha Migawo ya Shule (be uku. 43 ¶1–uku. 44 ¶3)

Na. 2: Isaya 26:1-18

Na. 3: Kwa Nini Ni Kosa Kutoa Mimba? (rs uku. 131-133 ¶3)

Na. 4: Tunawezaje ‘Kumvaa Bwana Yesu Kristo’? (Rom. 13:14)

Jan. 8 Usomaji wa Biblia: Isaya 29-33 Wimbo 42

Sifa ya Usemi: Kuwasaidia Wengine Kuona Faida ya Ujumbe Wetu (be uku. 159 ¶1-4)

Na. 1: Kutayarisha Ukifikiria Kichwa Kikuu na Kikao (be uku. 44 ¶4–uku. 46 ¶2)

Na. 2: Isaya 30:1-14

Na. 3: a Kumjibu Mtu Anayesema: ‘Nina Haki ya Kuamua Mambo Yanayohusu Mwili Wangu Mwenyewe’ (rs uku. 133 ¶4)

Na. 4: Jinsi Tunavyojua Kwamba Yehova Mungu Anawapenda Watoto

Jan. 15 Usomaji wa Biblia: Isaya 34-37 Wimbo 222

Sifa ya Usemi: Kutumia Maneno Yanayofaa (be uku. 160 ¶1-3)

Na. 1: Sitawisha Maoni Kama ya Yesu Kuhusu Yaliyo Sawa na Yaliyo Makosa (w05 1/1 uku. 9-10 ¶11-15)

Na. 2: Isaya 34:1-15

Na. 3: Jinsi ya Kusitawisha Upendo wa Kweli

Na. 4: Adamu na Hawa—Je, Walikuwa Watu Halisi? (rs uku. 25-26)

Jan. 22 Usomaji wa Biblia: Isaya 38-42 Wimbo 61

Sifa ya Usemi: Lugha Inayoeleweka kwa Urahisi (be uku. 161 ¶1-4)

Na. 1: Usivunjwe Moyo na Upinzani (w05 1/1 uku. 15 ¶16-18)

Na. 2: Isaya 38:9-22

Na. 3: b Kumjibu Mtu Anayesema: ‘Dhambi ya Adamu Ilikuwa Mapenzi ya Mungu’ (rs uku. 27 ¶1-2)

Na. 4: Sababu za Kuepuka Kufikiri Kwamba Wengine Wana Nia Mbaya

Jan. 29 Usomaji wa Biblia: Isaya 43-46 Wimbo 113

Sifa ya Usemi: Kutumia Semi Tofauti-Tofauti na Sahihi (be uku. 161 ¶5–uku. 162 ¶4)

Na. 1: Kwa Nini Tunakubali Hukumu za Yehova? (w05 2/1 uku. 23-24 ¶4-9)

Na. 2: Isaya 45:1-14

Na. 3: Kwa Nini Ni Ubatili Kuabudu Mababu? (rs uku. 89 ¶1–uku. 90 ¶3)

Na. 4: c Sababu Inayowafanya Wakristo Waepuke Kujilinganisha kwa Mashindano

Feb. 5 Usomaji wa Biblia: Isaya 47-51 Wimbo 79

Sifa ya Usemi: Maneno Yanayoonyesha Mkazo, Hisia, na Yanayovutia (be uku. 163 ¶1–uku. 164 ¶2)

Na. 1: Neno la Yehova Hutusafisha na Kutusaidia Kuwa Waaminifu (w05 4/15 uku. 11-12 ¶5-11)

Na. 2: Isaya 50:1-11

Na. 3: Sababu Zinazofanya Yehova Mungu Achukie Ibada ya Mababu (rs uku. 90 ¶4–uku. 91 ¶2)

Na. 4: Je, Biblia Inapinga Zoea la Kutoa Zawadi?

Feb. 12 Usomaji wa Biblia: Isaya 52-57 Wimbo 139

Sifa ya Usemi: Usemi Unaopatana na Kanuni za Sarufi (be uku. 164 ¶3–uku. 165 ¶1)

Na. 1: Neno la Yehova Hutupa Ujasiri (w05 4/15 uku. 13 ¶12-14)

Na. 2: Isaya 55:1-13

Na. 3: Kuishi Maisha ya Kujidhabihu Kuna Faida

Na. 4: Wapinga-Kristo Ni Nani? (rs uku. 209-210)

Feb. 19 Usomaji wa Biblia: Isaya 58-62 Wimbo 189

Sifa ya Usemi: Kutumia Muhtasari (be uku. 166 ¶1–uku. 167 ¶2)

Na. 1: Isaya—Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 123 ¶34-39)

Na. 2: Isaya 60:1-14

Na. 3: Kwa Nini Ni Jambo Linalofaa Kuwa Mtumwa wa Mungu?

Na. 4: d Kuwatambulisha Waasi-Imani (rs uku. 304 ¶1–uku.306 ¶1)

Feb. 26 Usomaji wa Biblia: Isaya 63-66 Wimbo 141

Sifa ya Usemi: Kupanga Mambo Unayotaka Kuzungumzia (be uku. 167 ¶3–uku. 168 ¶2)

Pitio la Maswali na Majibu

Mac. 5 Usomaji wa Biblia: Yeremia 1-4 Wimbo 70

Sifa ya Usemi: Muhtasari Wako Uwe Rahisi (be uku. 168 ¶3–uku. 169 ¶6)

Na. 1: Utangulizi wa Yeremia (si uku. 124 ¶1-5)

Na. 2: Yeremia 3:1-13

Na. 3: Furaha ya Kweli Inategemea Nini?

Na. 4: e Tunapaswa Kuwa na Mtazamo Gani Kuelekea Waasi-Imani? (rs uku. 306 ¶2–uku. 307 ¶2)

Mac. 12 Usomaji wa Biblia: Yeremia 5-7 Wimbo 159

Sifa ya Usemi: Habari Inayofuatana Vizuri (be uku. 170 ¶1–uku. 171 ¶2)

Na. 1: Kutayarisha Hotuba kwa Ajili ya Kutaniko (be uku. 47 ¶1–uku. 49 ¶1)

Na. 2: Yeremia 5:1-14

Na. 3: Kristo Hakujenga Kanisa Juu ya Petro (rs uku. 360 ¶2–uku. 362 ¶3)

Na. 4: Kutumia Jambo Tunalojifunza Kwenye Kutoka 14:11 Katika Siku Zetu

Mac. 19 Usomaji wa Biblia: Yeremia 8-11 Wimbo 182

Sifa ya Usemi: Kutoa Habari kwa Njia Inayofuatana Vizuri (be uku. 171 ¶3–uku. 172 ¶6)

Na. 1: Kutayarisha Hotuba kwa Ajili ya Mkutano wa Utumishi na Hotuba Nyingine (be uku. 49 ¶2–uku. 51 ¶1)

Na. 2: Yeremia 10:1-16

Na. 3: Tunajuaje Kwamba Abrahamu, Ayubu, na Danieli Walikuwa na Imani Katika Ufufuo?

Na. 4: Funguo Ambazo Petro Alitumia Zilikuwa Nini? (rs uku. 362 ¶4–uku. 364 ¶4)

Mac. 26 Usomaji wa Biblia: Yeremia 12-16 Wimbo 205

Sifa ya Usemi: Kutumia Habari Zinazohusika Pekee (be uku. 173 ¶1-4)

Na. 1: Fidia Hutukuza Uadilifu wa Mungu (w05 11/1 uku. 13-14)

Na. 2: Yeremia 12:1-13

Na. 3: “Warithi wa Upapa” Si Wakristo wa Kweli (rs uku. 364 ¶1–uku. 367 ¶3)

Na. 4: Mkristo Anapaswa Kujivunia Nini?

Apr. 2 Usomaji wa Biblia: Yeremia 17-21 Wimbo 30

Sifa ya Usemi: Kutoa Hotuba Bila Kutazama Sana Maandishi (be uku. 174 ¶1–uku. 175 ¶4)

Na. 1: Kutayarisha Hotuba za Watu Wote (be uku. 52 ¶1–uku. 54 ¶1)

Na. 2: Yeremia 20:1-13

Na. 3: Har–Magedoni Itapiganwa Wapi? (rs uku. 84 ¶1–uku. 85 ¶8)

Na. 4: f Tunapaswa Kuonaje Shauri?

Apr. 9 Usomaji wa Biblia: Yeremia 22-24 Wimbo 184

Sifa ya Usemi: Kuepuka Mitego ya Kutoa Hotuba Bila Kutazama Sana Maandishi (be uku. 175 ¶5–uku. 177 ¶1)

Na. 1: Maamuzi ya Msemaji (be uku. 54 ¶2-4; uku. 55, sanduku)

Na. 2: Yeremia 23:1-14

Na. 3: Kwa Nini Kushiriki Katika Huduma Huleta Shangwe?

Na. 4: Ni Nini au Ni Nani Watakaoharibiwa Kwenye Har–Magedoni? (rs uku. 86 ¶1–6)

Apr. 16 Usomaji wa Biblia: Yeremia 25-28 Wimbo 27

Sifa ya Usemi: Wengine Wanapotaka Majibu (be uku. 177 ¶2–uku. 178 ¶2)

Na. 1: Sitawisha Ustadi wa Kufundisha (be uku. 56 ¶1–uku. 57 ¶2)

Na. 2: Yeremia 26:1-15

Na. 3: Ni Nani Watakaookoka Har–Magedoni? (rs uku. 86 ¶7–uku. 87 ¶5)

Na. 4: Udongo Ulilaaniwa Katika Maana Gani? (Mwa. 3:17)

Apr. 23 Usomaji wa Biblia: Yeremia 29-31 Wimbo 148

Sifa ya Usemi: Kutoa Hotuba kwa Njia ya Maongezi (be uku. 179-80)

Na. 1: ‘Pambanua Mambo’ (be uku. 57 ¶3–uku. 58 ¶2)

Na. 2: Yeremia 31:1-14

Na. 3: Kwa Nini Ukuu wa Yehova Hauna Mipaka?

Na. 4: Har–Magedoni—Haionyeshi Mungu Hana Upendo (rs uku. 87 ¶6–uku. 88 ¶1)

Apr. 30 Usomaji wa Biblia: Yeremia 32-34 Wimbo 100

Sifa ya Usemi: Ubora wa Sauti (be uku. 181 ¶1-4)

Pitio la Maswali na Majibu

Mei 7 Usomaji wa Biblia: Yeremia 35-38 Wimbo 165

Sifa ya Usemi: Kupumua Vizuri (be uku. 181 ¶5–uku. 184 ¶1; uku. 182, sanduku)

Na. 1: Watie Moyo Wasikilizaji Wafikiri (be uku. 58 ¶3–uku. 59 ¶3)

Na. 2: Yeremia 36:1-13

Na. 3: Haiwezekani Kutounga Mkono Upande Wowote Katika Har–Magedoni (rs uku. 88 ¶2-5)

Na. 4: Wakristo Wanaweza Kufanya Nini Wanapokuwa na Mashaka?

Mei 14 Usomaji wa Biblia: Yeremia 39-43 Wimbo 56

Sifa ya Usemi: Kutuliza Mkazo wa Misuli (be uku. 184 ¶2–uku. 185 ¶2; uku. 184, sanduku)

Na. 1: Onyesha Jinsi Habari Inavyotumika, Weka Mfano Mzuri (be uku. 60 ¶1–uku. 61 ¶3)

Na. 2: Yeremia 39:1-14

Na. 3: Ni Nani Anayeyachochea Mataifa Kwenye Hali ya Har–Magedoni? (rs uku. 88 ¶6-7)

Na. 4: g Kwa Nini Wakristo Hujitahidi Kuwa na Uchumba Safi?

Mei 21 Usomaji wa Biblia: Yeremia 44-48 Wimbo 122

Sifa ya Usemi: Kupendezwa na Wengine (be uku. 186 ¶1-4)

Na. 1: Jinsi ya Kuboresha Stadi za Mazungumzo (be uku. 62 ¶1–uku. 64 ¶1)

Na. 2: Yeremia 46:1-17

Na. 3: Kujidanganya Kunamaanisha Nini, Nasi Tunawezaje Kujihadhari Tusiathiriwe?

Na. 4: Kumtambulisha Babiloni Mkubwa (rs uku. 28 ¶1-2)

Mei 28 Usomaji wa Biblia: Yeremia 49-50 Wimbo 95

Sifa ya Usemi: Kusikiliza kwa Makini (be uku. 187 ¶1-5)

Na. 1: Jinsi ya Kuendeleza Mazungumzo (be uku. 64 ¶2–uku. 65 ¶4)

Na. 2: Yeremia 49:14-27

Na. 3: Babiloni la Kale Lilijulikana kwa Sababu Gani? (rs uku. 28 ¶3–uku. 30 ¶3)

Na. 4: Kwa Nini Wazazi Wanapaswa Kuwasomea Watoto Wao?

Juni 4 Usomaji wa Biblia: Yeremia 51-52 Wimbo 166

Sifa ya Usemi: Kuwasaidia Wengine Wafanye Maendeleo (be uku. 187 ¶6–uku. 188 ¶3)

Na. 1: Yeremia—Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 129 ¶36-39)

Na. 2: Yeremia 52:1-16

Na. 3: Ni Upumbavu Kujitegemea Badala ya Kumtegemea Mungu

Na. 4: Kwa Nini Dini Zinazodai Kuwa za Kikristo Ni Sehemu ya Babiloni Mkubwa? (rs uku. 30 ¶4–uku. 31 ¶3)

Juni 11 Usomaji wa Biblia: Maombolezo 1-2 Wimbo 129

Sifa ya Usemi: Kutoa Msaada Unaofaa (be uku. 188 ¶4–uku. 189 ¶4)

Na. 1: Utangulizi wa Maombolezo (si uku. 130-131 ¶1-7)

Na. 2: Maombolezo 2:1-10

Na. 3: Kwa Nini Ni Muhimu Kutoka Katika Babiloni Mkubwa Haraka? (rs uku. 31 ¶4–uku. 32 ¶5)

Na. 4: Kwa Nini Fadhili ya Kweli si Udhaifu?

Juni 18 Usomaji wa Biblia: Maombolezo 3-5 Wimbo 140

Sifa ya Usemi: Kuwaheshimu Wengine (be uku. 190 ¶1-4)

Na. 1: Maombolezo—Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 132 ¶13-15)

Na. 2: Maombolezo 4:1-13

Na. 3: Kinachomaanishwa na Ubatizo, na Kwa Nini Wanaoamini Hubatizwa (rs p. 307 ¶3-6)

Na. 4: h Kwa Nini Wakristo wa Kweli Hawajihusishi Katika Siasa?

Juni 25 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 1-5 Wimbo 1

Sifa ya Usemi: Salamu Zenye Heshima (be uku. 191 ¶1–uku. 192 ¶1)

Pitio la Maswali na Majibu

Julai 2 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 6-10 Wimbo 26

Sifa ya Usemi: Kutoa Hotuba kwa Njia ya Heshima (be uku. 192 ¶2–uku. 193 ¶2)

Na. 1: Utangulizi wa Ezekieli (si uku. 132-133 ¶1-6)

Na. 2: Ezekieli 7:1-13

Na. 3: Kinachohitajika Ili Kumkaribia Yehova (Yak. 4:8)

Na. 4: Ubatizo wa Kikristo, Si kwa Kunyunyiza Maji, Wala kwa Watoto wa Wachanga (rs uku. 308 ¶1–uku. 308 ¶6)

Julai 9 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 11-14 Wimbo 112

Sifa ya Usemi: Kuzungumza kwa Usadikisho (be uku. 194 ¶1–uku. 195 ¶2)

Na. 1: Usife Moyo Katika Kufanya Yaliyo Mema (w05 6/1 uku. 29-30)

Na. 2: Ezekieli 11:1-13

Na. 3: Je, Ubatizo wa Maji Husafisha Dhambi? (rs uku. 308 ¶7–uku. 309 ¶2)

Na. 4: Tunapaswa Kuelewaje Ufunuo 17:9-11?

Julai 16 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 15-17 Wimbo 29

Sifa ya Usemi: Jinsi ya Kuonyesha Usadikisho (be uku. 195 ¶3–uku. 196 ¶4)

Na. 1: Kataa Mawazo Yasiyofaa! (w05 9/15 uku. 26-28)

Na. 2: Ezekieli 16:1-13

Na. 3: Kinachomaanishwa na Kuwa Mwerevu (Met. 13:16)

Na. 4: Ni Nani Wanaobatizwa kwa Roho Takatifu? (rs uku. 309 ¶3–uku. 310 ¶5)

Julai 23 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 18-20 Wimbo 193

Sifa ya Usemi: Uwe Mwenye Busara Lakini Thabiti (be uku. 197 ¶1-3)

Na. 1: Kufahamu Maoni ya Anayeuliza Swali (be uku. 66 ¶1–uku. 68 ¶1)

Na. 2: Ezekieli 18:19-29

Na. 3: Ubatizo wa Moto Si Sawa na Ubatizo kwa Roho Takatifu (rs uku. 310 ¶6–uku. 311 ¶4)

Na. 4: Uthibitisho Kwamba Ufalme wa Mungu Ni Halisi

Julai 30 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 21-23 Wimbo 35

Sifa ya Usemi: Kutumia Busara Unapohubiri (be uku. 197 ¶4–uku. 198 ¶5)

Na. 1: Jua Jinsi Unavyopaswa Kujibu (be uku. 68 ¶2–uku. 70 ¶3)

Na. 2: Ezekieli 23:1-17

Na. 3: Sababu za Kuichunguza Biblia (rs uku. 33 ¶1–uku. 34 ¶3)

Na. 4: Ni Maoni Gani Yanayofaa Kuhusu Umashuhuri?

Ago. 6 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 24-27 Wimbo 37

Sifa ya Usemi: Kusema Maneno Yanayofaa Wakati Unaofaa (be uku. 199 ¶1-4)

Na. 1: Kuandika Barua (be uku. 71-73)

Na. 2: Ezekieli 24:1-14

Na. 3: Musa Alikuwa Mfano Mzuri kwa Wakristo Katika Njia Gani?

Na. 4: Uthibitisho Kutoka Kitabu cha Isaya na Yeremia Kwamba Biblia Iliongozwa na Roho ya Mungu (rs uku. 34 ¶4–uku. 35 ¶3)

Ago. 13 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 28-31 Wimbo 123

Sifa ya Usemi: Kutumia Busara Katika Familia na kwa Wengine (be uku. 200 ¶1-4)

Na. 1: Uwe Mwenye Maendeleo (be uku. 74 ¶1–uku. 75 ¶3)

Na. 2: Ezekieli 28:1-16

Na. 3: Kutimia kwa Unabii wa Yesu Kunathibitisha Biblia Iliongozwa na Roho ya Mungu (rs uku. 35 ¶4–uku. 36 ¶1)

Na. 4: Ni Nini Kinachomaanishwa na “Chuki” Katika Maandiko?

Ago. 20 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 32-34 Wimbo 215

Sifa ya Usemi: Uwe Mwenye Kujenga na Kutia Moyo (be uku. 202 ¶1–uku. 203 ¶2)

Na. 1: Tumia Zawadi Yako (be uku. 75 ¶4–uku. 77 ¶2)

Na. 2: Ezekieli 34:1-14

Na. 3: Roho ya Mungu Inatusaidiaje?

Na. 4: Biblia Ni Sahihi Kisayansi (rs uku. 36 ¶2–uku. 38 ¶3)

Ago. 27 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 35-38 Wimbo 94

Sifa ya Usemi: Kuwa Mwenye Kutia Moyo (be uku. 203 ¶3–uku. 204 ¶1)

Pitio la Maswali na Majibu

Sept. 3 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 39-41 Wimbo 194

Sifa ya Usemi: Unapozungumza na Waamini Wenzako (be uku. 204 ¶2–uku. 205 ¶4)

Na. 1: Kwa Nini Ulipende Neno la Mungu? (w05 4/15 uku. 15-16 ¶3-6)

Na. 2: Ezekieli 40:1-15

Na. 3: Je, Wanadamu Wanaweza Kumfurahisha Mungu?

Na. 4: i Kujibu Upinzani Kuhusu Biblia (rs uku. 38 ¶4–uku. 42 ¶2)

Sept. 10 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 42-45 Wimbo 77

Sifa ya Usemi: Kurudia Ili Kukazia Mambo (be uku. 206 ¶1-4)

Na. 1: Uzee Unapokuwa “Taji la Uzuri” (w05 1/15 uku. 8-9)

Na. 2: Ezekieli 43:1-12

Na. 3: Kwa Nini Wakristo Hawasherehekei Sikukuu za Kuzaliwa? (rs uku. 282 ¶5–uku. 284 ¶3)

Na. 4: j Tunaweza Kutambuaje “Sauti ya Wageni”? (Yoh. 10:5)

Sept. 17 Usomaji wa Biblia: Ezekieli 46-48 Wimbo 164

Sifa ya Usemi: Kurudia Katika Huduma ya Shambani na Katika Hotuba (be uku. 207 ¶1–uku. 208 ¶4)

Na. 1: Ezekieli—Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 137 ¶29-33)

Na. 2: Ezekieli 47:1-14

Na. 3: Kwa Nini Wakristo Hujiepusha na Damu? (rs uku. 42 ¶3–uku. 44 ¶2)

Na. 4: k Kwa Nini Urithi wa Kiroho Ndiyo Zawadi Bora Ambayo Wazazi Wanaweza Kuwapa Watoto Wao?

Sept. 24 Usomaji wa Biblia: Danieli 1-3 Wimbo 179

Sifa ya Usemi: Kufafanua Kichwa Kikuu (be uku. 209 ¶1-3)

Na. 1: Utangulizi wa Danieli (si uku. 138-139 ¶1-6)

Na. 2: Danieli 2:1-16

Na. 3: Kwa Nini Namba 144,000 Ni Halisi? (Ufu. 7:4)

Na. 4: Kwa Nini Wakristo wa Kweli Hawakubali Kutiwa Damu Mishipani? (rs uku. 44 ¶3–uku. 45 ¶3)

Okt. 1 Usomaji wa Biblia: Danieli 4-6 Wimbo 14

Sifa ya Usemi: Kutumia Kichwa Kikuu Kinachofaa (be uku. 210 ¶1–uku. 211 ¶1; uku. 211, sanduku)

Na. 1: Ni Wakati Gani Unapokuwa na Haki ya Kuudhika? (w05 8/1 uku. 13-15)

Na. 2: Danieli 4:1-17

Na. 3: Tunaweza Kuigaje Sifa Nzuri za Mefiboshethi?

Na. 4: l Kujibu Madai Kuhusu Kutiwa Damu Mishipani (rs uku. 46 ¶1–uku. 48 ¶1)

Okt. 8 Usomaji wa Biblia: Danieli 7-9 Wimbo 34

Sifa ya Usemi: Kukazia Mambo Makuu (be uku. 212 ¶1–uku. 213 ¶1)

Na. 1: Acha “Neno” la Yehova Likulinde (w05 9/1 uku. 28-31)

Na. 2: Danieli 7:1-12

Na. 3: Inamaanisha Nini Kuzaliwa Mara ya Pili? (rs uku. 145 ¶2–uku. 146 ¶4)

Na. 4: Ni Shangwe Gani za Pekee Hupatikana kwa Kushiriki kwa Ukawaida Katika Huduma ya Shambani?

Okt. 15 Usomaji wa Biblia: Danieli 10-12 Wimbo 210

Sifa ya Usemi: Usitumie Mambo Makuu Mengi Mno (be uku. 213 ¶2–uku. 214 ¶5)

Na. 1: Danieli—Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 141-142 ¶19-23)

Na. 2: Danieli 11:1-14

Na. 3: Jinsi Unyenyekevu Unavyoweza Kutusaidia Kukabiliana na Kutokuelewana

Na. 4: Kuokolewa Hakutegemei Kuzaliwa Mara ya Pili (rs uku. 146 ¶5–uku. 147 ¶5)

Okt. 22 Usomaji wa Biblia: Hosea 1-7 Wimbo 66

Sifa ya Usemi: Utangulizi Unaoamsha Upendezi (be uku. 215 ¶1–uku. 216 ¶5)

Na. 1: Utangulizi wa Hosea na Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 143-145 ¶1-8, 14-17)

Na. 2: Hosea 5:1-15

Na. 3: a Kujibu Maoni Kuhusu Kuzaliwa Mara ya Pili (rs uku. 148 ¶1-5)

Na. 4: Njia Ambazo Wakristo wa Kweli Huonyesha Subira

Okt. 29 Usomaji wa Biblia: Hosea 8-14 Wimbo 59

Sifa ya Usemi: Kuvuta Usikivu wa Watu Katika Utumishi wa Shambani (be uku. 217 ¶1-4)

Pitio la Maswali na Majibu

Nov. 5 Usomaji wa Biblia: Yoeli 1-3 Wimbo 166

Sifa ya Usemi: Kutaja Kihususa Habari Unayozungumzia Katika Utangulizi (be uku. 217 ¶5–uku. 219 ¶2)

Na. 1: Utangulizi wa Yoeli na Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 146-148 ¶1-5, 12-14)

Na. 2: Yoeli 2:1-14

Na. 3: Kinachomaanishwa na Kuwa na “Upendo Mkamilifu” (1 Yoh. 4:18)

Na. 4: Kuungama Mbele ya Padri—Kwa Nini Kunapingana na Maandiko? (rs uku. 347 ¶1–uku. 348 ¶3)

Nov. 12 Usomaji wa Biblia: Amosi 1-9 Wimbo 211

Sifa ya Usemi: Umalizio Mzuri (be uku. 220 ¶1-3)

Na. 1: Utangulizi wa Amosi na Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 148-150 ¶1-6, 13-17)

Na. 2: Amosi 2:1-16

Na. 3: Kwa Nini Kujifunza Kupitia Mambo Yanayotupata Siyo Njia Bora Zaidi?

Na. 4: Kuungama Dhambi Dhidi ya Mungu na Wanadamu (rs uku. 349 ¶4–uku. 350 ¶3)

Nov. 19 Usomaji wa Biblia: Obadia 1–Yona 4 Wimbo 220

Sifa ya Usemi: Kumbuka Mambo Haya (be uku. 221 ¶1-5)

Na. 1: Utangulizi wa Obadia na Yona na Kwa Nini Ni Vyenye Mafaa (si uku. 151-153 ¶1-5, 10-14; uku. 153-155 ¶1-4, 9-12)

Na. 2: Yona 1:1-17

Na. 3: Kwa Nini Lazima Paradiso ya Kiroho Itangulie Paradiso ya Kidunia?

Na. 4: b Kwa Nini Dhambi Nzito Zinapaswa Kuungamwa kwa Wazee? (rs uku. 350 ¶4-8)

Nov. 26 Usomaji wa Biblia: Mika 1-7 Wimbo 18

Sifa ya Usemi: Katika Huduma ya Shambani (be uku. 221 ¶6–uku. 222 ¶6)

Na. 1: Utangulizi wa Mika na Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 155-158 ¶1-8, 16-19)

Na. 2: Mika 2:1-13

Na. 3: Kinachomaanishwa na Kuwa Mwenye Tabia-Pole

Na. 4: Je, Ni Jambo Linalopatana na Akili Kuamini Uumbaji (rs uku. 390 ¶3–uku. 392 ¶2)

Des. 3 Usomaji wa Biblia: Nahumu 1–Habakuki 3 Wimbo 137

Sifa ya Usemi: Kusema Mambo Yaliyo Sahihi (be uku. 223 ¶1-5)

Na. 1: Utangulizi wa Nahumu na Habakuki na Kwa Nini Ni Vyenye Mafaa (si uku. 158-160 ¶1-7, 11-12; uku. 161-163 ¶1-5, 12-14)

Na. 2: Habakuki 1:1-17

Na. 3: Kuelewa Simulizi la Biblia la Uumbaji (rs uku. 392 ¶3–uku. 394 ¶4)

Na. 4: Kwa Nini Kuishi Milele Hakutachosha?

Des. 10 Usomaji wa Biblia: Sefania 1–Hagai 2 Wimbo 78

Sifa ya Usemi: ‘Kushika kwa Imara Neno la Uaminifu’ (be uku. 224 ¶1-4)

Na. 1: Utangulizi wa Sefania na Hagai na Kwa Nini Ni Vyenye Mafaa (si uku. 163-166 ¶1-6, 10-12; uku. 166-168 ¶1-7, 13-16)

Na. 2: Sefania 3:1-17

Na. 3: Kwa Nini Kutukuza Msalaba Kunapingana na Maandiko? (rs uku. 214 ¶1–uku. 214 ¶7)

Na. 4: c Hali Nzuri ya Kiroho Inawezaje Kuathiri Ndoa?

Des. 17 Usomaji wa Biblia: Zekaria 1-8 Wimbo 209

Sifa ya Usemi: Kuchunguza Usahihi wa Habari Unayozungumzia (be uku. 225 ¶1-3)

Na. 1: Utangulizi wa Zekaria (si uku. 168-169 ¶1-7)

Na. 2: Zekaria 7:1-14

Na. 3: Maono ya Kugeuka Sura Yametimizwaje?

Na. 4: Je, Umri wa Watu Walioishi Kabla ya Gharika Ulipimwa kwa Miaka Tunayotumia? (rs uku. 396 ¶4–uku. 397 ¶1)

Des. 24 Usomaji wa Biblia: Zekaria 9-14 Wimbo 202

Sifa ya Usemi: Usemi Unaoeleweka (be uku. 226 ¶1–uku. 227 ¶1)

Na. 1: Zekaria—Kwa Nini Ni Chenye Mafaa na Utangulizi wa Malaki na Kwa Nini Ni Chenye Mafaa (si uku. 171-172 ¶23-27; uku. 172-5 ¶1-6, 13-17)

Na. 2: Zekaria 10:1-12

Na. 3: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Husema Kwamba Ufalme wa Mungu Ulisimamishwa Mwaka wa 1914? (rs uku. 397 ¶2–uku. 399 ¶3)

Na. 4: Tunaweza Kujitayarishaje kwa Ajili ya Mnyanyaso?

Des. 31 Usomaji wa Biblia: Malaki 1-4 Wimbo 118

Sifa ya Usemi: Kufafanua Maneno Yasiyoeleweka (be uku. 227 ¶2–uku. 228 ¶1)

Pitio la Maswali na Majibu

[Weche moler piny]

a Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

b Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

c Hotuba hii itolewe na akina ndugu tu.

d Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

e Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

f Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

g Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

h Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

i Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

j Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

k Hotuba hii itolewe na akina ndugu tu.

l Hotuba hii itolewe na akina ndugu tu.

a Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

b Kadiri wakati unavyoruhusu, zingatia jinsi ya kuitikia maoni, madai, na upinzani kwa njia inayofaa zaidi eneo lenu.

c Hotuba hii itolewe na akina ndugu tu.

    Buge mag Dholuo (1993-2025)
    Toka
    Ingia
    • Dholuo
    • Shiriki
    • Kaka Daher
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Chikewa
    • Rito Weche
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki