Yohana 7:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtanitafuta, lakini hamtanipata,+ na mahali nilipo hamwezi kuja.”+ Yohana 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa sababu hiyo akawaambia tena: “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta,+ na bado mtakufa katika dhambi yenu.+ Ninakoenda hamwezi kuja.”
21 Kwa sababu hiyo akawaambia tena: “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta,+ na bado mtakufa katika dhambi yenu.+ Ninakoenda hamwezi kuja.”