Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Abramu akaondoka kama Yehova alivyokuwa amemwambia, na Loti akaondoka pamoja naye. Abramu alikuwa na umri wa miaka 75 alipoondoka Harani.+

  • Mwanzo 27:42, 43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Rebeka alipoambiwa maneno ya Esau mwana wake mkubwa, mara moja akaagiza Yakobo mwana wake mdogo aitwe, akamwambia: “Tazama! Esau ndugu yako anapanga kukuua ili kulipiza kisasi.* 43 Sasa mwanangu, fanya ninayokwambia. Ondoka, ukimbilie kwa Labani ndugu yangu kule Harani.+

  • Matendo 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Stefano akajibu: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikilizeni. Mungu wa utukufu alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla hajaanza kuishi Harani,+

  • Matendo 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo akaondoka katika nchi ya Wakaldayo, akaanza kuishi Harani. Na kutoka hapo, baada ya baba yake kufa,+ Mungu akamwagiza ahamie nchi hii ambayo mnaishi sasa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki