Mwanzo 26:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hiyo watumishi wa Isaka walikuja na kumwambia kuhusu kisima walichokuwa wamechimba,+ wakasema: “Tumepata maji!” 33 Kwa hiyo akakiita Shiba. Ndiyo sababu tangu siku hiyo jiji hilo linaitwa Beer-sheba.+
32 Siku hiyo watumishi wa Isaka walikuja na kumwambia kuhusu kisima walichokuwa wamechimba,+ wakasema: “Tumepata maji!” 33 Kwa hiyo akakiita Shiba. Ndiyo sababu tangu siku hiyo jiji hilo linaitwa Beer-sheba.+