Kumbukumbu la Torati 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waisraeli wote wanapokuja mbele za Yehova+ Mungu wao mahali anapochagua, unapaswa kuisoma Sheria hii mbele ya Waisraeli wote ili waisikie.+ Matendo 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya kusoma hadharani Sheria+ na Manabii, maofisa wasimamizi wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa mna neno lolote la kuwatia moyo watu, lisemeni.”
11 Waisraeli wote wanapokuja mbele za Yehova+ Mungu wao mahali anapochagua, unapaswa kuisoma Sheria hii mbele ya Waisraeli wote ili waisikie.+
15 Baada ya kusoma hadharani Sheria+ na Manabii, maofisa wasimamizi wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa mna neno lolote la kuwatia moyo watu, lisemeni.”