Kumbukumbu la Torati 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mikono yenu haipaswi kuchukua kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,*+ ili Yehova aache hasira yake kali na kuwaonyesha rehema na huruma na kuwafanya mwongezeke, kama alivyowaapia mababu zenu.+
17 Mikono yenu haipaswi kuchukua kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,*+ ili Yehova aache hasira yake kali na kuwaonyesha rehema na huruma na kuwafanya mwongezeke, kama alivyowaapia mababu zenu.+