Kumbukumbu la Torati 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli. Nehemia 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaisoma kwa sauti kubwa+ katika uwanja wa jiji mbele ya Lango la Maji, kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, akawasomea wanaume, wanawake, na wote ambao wangeweza kuelewa; nao watu wakasikiliza kwa makini+ kitabu cha Sheria.
9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli.
3 Naye akaisoma kwa sauti kubwa+ katika uwanja wa jiji mbele ya Lango la Maji, kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, akawasomea wanaume, wanawake, na wote ambao wangeweza kuelewa; nao watu wakasikiliza kwa makini+ kitabu cha Sheria.