Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akaandika Sheria hii+ na kuwapa makuhani, Walawi, ambao wanabeba sanduku la agano la Yehova, na wazee wote wa Israeli.

  • Nehemia 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaisoma kwa sauti kubwa+ katika uwanja wa jiji mbele ya Lango la Maji, kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, akawasomea wanaume, wanawake, na wote ambao wangeweza kuelewa; nao watu wakasikiliza kwa makini+ kitabu cha Sheria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki