Mwanzo 48:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa wana wako wawili uliowazaa katika nchi ya Misri kabla sijaja kwako nchini Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama Rubeni na Simeoni walivyo wangu.+ 1 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.
5 Sasa wana wako wawili uliowazaa katika nchi ya Misri kabla sijaja kwako nchini Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama Rubeni na Simeoni walivyo wangu.+
2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.