Yoshua 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na Wagershoni+ wa koo za Walawi walipewa jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji katika eneo la nusu ya kabila la Manase, yaani, jiji la Golani+ kule Bashani pamoja na malisho yake, na Beeshtera na malisho yake—majiji mawili. 1 Mambo ya Nyakati 6:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Wagershomu walipewa kutoka katika ukoo wa nusu ya kabila la Manase, Golani+ kule Bashani na malisho yake na Ashtarothi na malisho yake;+
27 Na Wagershoni+ wa koo za Walawi walipewa jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji katika eneo la nusu ya kabila la Manase, yaani, jiji la Golani+ kule Bashani pamoja na malisho yake, na Beeshtera na malisho yake—majiji mawili.
71 Wagershomu walipewa kutoka katika ukoo wa nusu ya kabila la Manase, Golani+ kule Bashani na malisho yake na Ashtarothi na malisho yake;+