Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:2-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hii ndiyo nchi ambayo imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti na ya Wageshuri+ 3 (kuanzia kijito cha Mto Nile* kilicho upande wa mashariki wa* Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini, eneo lililoonwa kuwa sehemu ya Wakanaani)+ kutia ndani eneo la watawala watano wa Wafilisti+—Wagaza, Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi,+ Waekroni;+ eneo la Waavimu+ 4 upande wa kusini; nchi yote ya Wakanaani; Meara, ambayo ni ya Wasidoni,+ hadi Afeki, kwenye mpaka wa Waamori; 5 nchi ya Wagebali+ na nchi yote ya Lebanoni kuelekea mashariki, kuanzia Baal-gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-hamathi;*+ 6 wakaaji wote wa eneo lenye milima kuanzia Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu;+ na Wasidoni wote.+ Nitawafukuza* mbele ya Waisraeli.+ Utaigawanya nchi hiyo na kuwapa Waisraeli kuwa urithi wao, kama nilivyokuamuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki