-
Yoshua 13:2-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Hii ndiyo nchi ambayo imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti na ya Wageshuri+ 3 (kuanzia kijito cha Mto Nile* kilicho upande wa mashariki wa* Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini, eneo lililoonwa kuwa sehemu ya Wakanaani)+ kutia ndani eneo la watawala watano wa Wafilisti+—Wagaza, Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi,+ Waekroni;+ eneo la Waavimu+ 4 upande wa kusini; nchi yote ya Wakanaani; Meara, ambayo ni ya Wasidoni,+ hadi Afeki, kwenye mpaka wa Waamori; 5 nchi ya Wagebali+ na nchi yote ya Lebanoni kuelekea mashariki, kuanzia Baal-gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-hamathi;*+ 6 wakaaji wote wa eneo lenye milima kuanzia Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu;+ na Wasidoni wote.+ Nitawafukuza* mbele ya Waisraeli.+ Utaigawanya nchi hiyo na kuwapa Waisraeli kuwa urithi wao, kama nilivyokuamuru.+
-