2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono usiku na kumwambia: “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu: “Mimi hapa!” 3 Akamwambia: “Mimi ndiye Mungu wa kweli, Mungu wa baba yako.+ Usiogope kushuka kwenda Misri, kwa maana huko nitakufanya uwe taifa kubwa.+