17 Leo Yehova amewatangazia kwamba atakuwa Mungu wenu mnapotembea katika njia zake na kushika masharti yake,+ amri zake,+ na sheria zake,*+ na mnaposikiliza sauti yake.
15 Sasa ikiwa mnaona ni vibaya kumtumikia Yehova, chagueni leo yule mtakayemtumikia,+ iwe ni miungu ambayo mababu zenu waliabudu ng’ambo ya Mto*+ au miungu ya Waamori mnaoishi katika nchi yao.+ Lakini mimi na familia* yangu, tutamtumikia Yehova.”