Kumbukumbu la Torati 2:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sihoni alipotoka na watu wake wote ili kupigana nasi kule Yahazi,+ 33 Yehova Mungu wetu alimtia mikononi mwetu, hivi kwamba tukamshinda yeye, wanawe, na watu wake wote.
32 Sihoni alipotoka na watu wake wote ili kupigana nasi kule Yahazi,+ 33 Yehova Mungu wetu alimtia mikononi mwetu, hivi kwamba tukamshinda yeye, wanawe, na watu wake wote.