-
Yoshua 13:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki* sehemu kubwa ya nchi. 2 Hii ndiyo nchi ambayo imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti na ya Wageshuri+ 3 (kuanzia kijito cha Mto Nile* kilicho upande wa mashariki wa* Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini, eneo lililoonwa kuwa sehemu ya Wakanaani)+ kutia ndani eneo la watawala watano wa Wafilisti+—Wagaza, Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi,+ Waekroni;+ eneo la Waavimu+
-