Waamuzi 20:46, 47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Siku hiyo, Wabenjamini 25,000 wenye mapanga waliuawa,+ wote walikuwa mashujaa hodari. 47 Lakini wanaume 600 walikimbilia nyikani kwenye mwamba wa Rimoni, na kukaa kwenye mwamba huo kwa miezi minne.
46 Siku hiyo, Wabenjamini 25,000 wenye mapanga waliuawa,+ wote walikuwa mashujaa hodari. 47 Lakini wanaume 600 walikimbilia nyikani kwenye mwamba wa Rimoni, na kukaa kwenye mwamba huo kwa miezi minne.