1 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+ 1 Samweli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi, kwa maana umenitendea mema lakini mimi nimekulipa kwa uovu.+ 1 Samweli 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa tazama! Najua kwa hakika kwamba utatawala ukiwa mfalme+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mikononi mwako.
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+
17 Akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi, kwa maana umenitendea mema lakini mimi nimekulipa kwa uovu.+
20 Sasa tazama! Najua kwa hakika kwamba utatawala ukiwa mfalme+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mikononi mwako.