-
2 Samweli 1:13-15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Daudi akamuuliza hivi kijana aliyemletea habari: “Unatoka wapi?” Akajibu: “Mimi ni mwana wa mkaaji mgeni, Mwamaleki.” 14 Kisha Daudi akamuuliza: “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako kumuua mtiwa-mafuta wa Yehova?”+ 15 Ndipo Daudi akamwita kijana mmoja na kumwambia: “Njoo umuue.” Basi akampiga na kumuua.+
-