2 Samweli 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yehova akamtuma Nathani+ kwa Daudi. Akafika kwake+ na kumwambia: “Kulikuwa na wanaume wawili katika jiji moja, mmoja alikuwa tajiri na mwingine maskini. 1 Mambo ya Nyakati 29:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Historia ya Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, imeandikwa katika maandishi ya mwonaji Samweli, nabii Nathani,+ na mwonaji Gadi,+
12 Kwa hiyo Yehova akamtuma Nathani+ kwa Daudi. Akafika kwake+ na kumwambia: “Kulikuwa na wanaume wawili katika jiji moja, mmoja alikuwa tajiri na mwingine maskini.
29 Historia ya Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, imeandikwa katika maandishi ya mwonaji Samweli, nabii Nathani,+ na mwonaji Gadi,+