1 Mambo ya Nyakati 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwimbieni, mwimbieni sifa,*+Tafakarini* kazi zake zote zinazostaajabisha.+ Zaburi 145:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitakusifu mchana kutwa;+Nitalisifu jina lako milele na milele.+ Waroma 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na kwamba mataifa yamtukuze Mungu kwa sababu ya rehema yake.+ Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitakwimbia nyimbo za sifa.”+
9 na kwamba mataifa yamtukuze Mungu kwa sababu ya rehema yake.+ Kama ilivyoandikwa: “Ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitakwimbia nyimbo za sifa.”+