Isaya 38:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo Isaya akasema: “Leteni keki ya tini kavu zilizoshinikizwa mlipake jipu hilo, ili apone.”+ 22 Hezekia alikuwa ameuliza: “Ni ishara gani itakayonionyesha kwamba nitapanda kwenda katika nyumba ya Yehova?”+
21 Ndipo Isaya akasema: “Leteni keki ya tini kavu zilizoshinikizwa mlipake jipu hilo, ili apone.”+ 22 Hezekia alikuwa ameuliza: “Ni ishara gani itakayonionyesha kwamba nitapanda kwenda katika nyumba ya Yehova?”+