2 Mambo ya Nyakati 34:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 31 huko Yerusalemu.+ 2 Alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova na kutembea katika njia za Daudi babu yake, naye hakugeuka na kwenda kulia au kushoto.
34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 31 huko Yerusalemu.+ 2 Alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova na kutembea katika njia za Daudi babu yake, naye hakugeuka na kwenda kulia au kushoto.