14 Walipokuwa wakitoa pesa zilizokuwa zimeletwa katika nyumba ya Yehova,+ kuhani Hilkia alipata kitabu cha Sheria ya Yehova+ kilichotolewa kupitia Musa.+ 15 Kwa hiyo Hilkia akamwambia mwandishi Shafani: “Nimepata kitabu cha Sheria katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kitabu hicho.