-
Mambo ya Walawi 23:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Siku ambayo tita hilo linatikiswa, ni lazima mumtolee Yehova dhabihu ya kuteketezwa ya mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiye na kasoro. 13 Mtatoa pia sehemu mbili za kumi za kipimo cha efa* ya unga laini uliochanganywa na mafuta kuwa toleo la nafaka linalochomwa kwa moto, lenye harufu inayompendeza* Yehova. Pia mtatoa robo ya hini* ya divai kuwa toleo la kinywaji.
-