3 pamoja na wanawe wawili.+ Mwana mmoja aliitwa Gershomu,+ kwa sababu Musa alisema, “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni,” 4 na yule mwingine aliitwa Eliezeri, kwa sababu Musa alisema, “Mungu wa baba yangu ni msaidizi wangu, aliyeniokoa kutokana na upanga wa Farao.”+