26 Hata hivyo, Hezekia alijinyenyekeza, moyo wake ukaacha kuwa na kiburi,+ yeye pamoja na wakaaji wa Yerusalemu, na ghadhabu ya Yehova haikuja dhidi yao katika siku za Hezekia.+
11 Kwa hiyo Yehova akawaleta wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru ili wawashambulie, nao wakamkamata Manase kwa kulabu* na kumfunga kwa pingu mbili za shaba na kumpeleka Babiloni.
13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+