8 Nyumba* ambamo angeishi, katika ule ua mwingine,+ ilijengwa nyuma mbali na Ukumbi,* na muundo wake ulifanana na wa majengo mengine. Alimjengea pia binti ya Farao nyumba iliyofanana na Ukumbi huo; Sulemani alikuwa amemwoa binti huyo.+
24 Lakini binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kuishi katika nyumba yake ambayo Sulemani alimjengea; kisha Sulemani akajenga Kilima.*+