Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mnapaswa kubomoa madhabahu zao, kuvunjavunja nguzo zao takatifu,+ kuteketeza kwa moto miti yao mitakatifu,* na kukatakata sanamu za kuchongwa za miungu yao,+ na kuondoa kabisa majina ya miungu yao kutoka sehemu hizo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yosia+ alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 31 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pia, walibomoa madhabahu za Mabaali mbele yake, naye akavikatakata vinara vya uvumba vilivyokuwa juu ya madhabahu hizo. Pia alivunja vipandevipande miti mitakatifu,* sanamu za kuchongwa, na sanamu za chuma,* akazipondaponda zikawa ungaunga na kuunyunyiza juu ya makaburi ya wale waliokuwa wakizitolea dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki