-
1 Mambo ya Nyakati 23:30, 31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Walipaswa kusimama asubuhi baada ya asubuhi+ ili kumshukuru na kumsifu Yehova, na walipaswa kufanya hivyo jioni pia.+ 31 Walisaidia wakati wowote ambapo dhabihu za kuteketezwa zilitolewa kwa Yehova nyakati za Sabato,+ miezi mipya,+ na wakati wa sherehe za majira,+ kulingana na idadi iliyoamriwa katika sheria kuzihusu, nao walifanya hivyo kwa ukawaida mbele za Yehova.
-