Yakobo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi; nayo dhambi, baada ya kufanywa, huleta kifo.+ 2 Petro 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ingekuwa afadhali kwao kama hawangejua kwa usahihi njia ya uadilifu kuliko baada ya kuijua wageuke kutoka kwenye amri takatifu waliyopokea.+
21 Ingekuwa afadhali kwao kama hawangejua kwa usahihi njia ya uadilifu kuliko baada ya kuijua wageuke kutoka kwenye amri takatifu waliyopokea.+