-
Ezekieli 33:30, 31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 “Na wewe, mwana wa binadamu, watu wako wanaongea kukuhusu kando ya kuta na kwenye vizingiti vya milango ya nyumba.+ Kila mtu anamwambia ndugu yake, ‘Hebu njoo tusikie neno linalotoka kwa Yehova.’ 31 Watakusanyika na kuketi mbele yako kama watu wangu; nao watasikia maneno yako lakini hawatayatenda.+ Kwa maana wanakusifusifu kwa vinywa vyao* lakini moyo wao una pupa ya kupata faida isiyo ya haki.
-