Isaya 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema: “Ah! Nitawaondoa wapinzani wangu,Nami nitalipiza kisasi dhidi ya maadui wangu.+ Ezekieli 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo hasira yangu itakapokoma, na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitaridhika.+ Nitakapomaliza kuwamwagia ghadhabu yangu, watalazimika kujua kwamba mimi, Yehova, ninasisitiza watu waniabudu mimi peke yangu.+ Ezekieli 16:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nitaitosheleza ghadhabu yangu dhidi yako,+ na hasira yangu itakuacha;+ nami nitatulia na sitaendelea kukasirika.’
24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema: “Ah! Nitawaondoa wapinzani wangu,Nami nitalipiza kisasi dhidi ya maadui wangu.+
13 Ndipo hasira yangu itakapokoma, na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitaridhika.+ Nitakapomaliza kuwamwagia ghadhabu yangu, watalazimika kujua kwamba mimi, Yehova, ninasisitiza watu waniabudu mimi peke yangu.+
42 Nitaitosheleza ghadhabu yangu dhidi yako,+ na hasira yangu itakuacha;+ nami nitatulia na sitaendelea kukasirika.’