28 “Huu ndio mwisho wa jambo hilo. Basi mimi, Danieli, mawazo yangu yaliniogopesha sana, hivi kwamba uso wangu ukabadilika* rangi; lakini niliweka jambo hilo katika moyo wangu mwenyewe.”
16 Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akaigusa midomo yangu,+ nami nikafungua kinywa changu na kumwambia yule aliyesimama mbele yangu: “Bwana wangu ninaogopa kwa sababu ya maono hayo, nami sina nguvu.+