Zaburi 35:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wanafungua kinywa chao wazi ili wanishtaki,Wakisema: “Aha! Aha! Macho yetu yameliona.” 22 Ee Yehova, umeona jambo hilo. Usinyamaze.+ Ee Yehova, usikae mbali nami.+
21 Wanafungua kinywa chao wazi ili wanishtaki,Wakisema: “Aha! Aha! Macho yetu yameliona.” 22 Ee Yehova, umeona jambo hilo. Usinyamaze.+ Ee Yehova, usikae mbali nami.+