Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu Waamoni,+ Yehova anasema hivi:

      “Je, Israeli hana wana:

      Je, hana mrithi?

      Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi?+

      Na kwa nini watu wake wanaishi katika majiji ya Israeli?”

  • Ezekieli 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Unapaswa kusema hivi kuhusu Waamoni, ‘Sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa sababu ulisema ‘Aha!’ dhidi ya mahali pangu patakatifu wakati palipotiwa unajisi, na dhidi ya nchi ya Israeli ilipofanywa ukiwa, na dhidi ya watu wa nyumba ya Yuda, walipopelekwa uhamishoni,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki