Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuimba kwa kuitikia+ wakimsifu na kumshukuru Yehova “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu kwa Israeli unadumu milele.”+ Kisha watu wote wakapaza sauti wakimsifu Yehova kwa sababu msingi wa nyumba ya Yehova ulikuwa umewekwa.

  • Isaya 12:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwimbieni sifa* Yehova+ kwa maana ametenda mambo makuu.+

      Jambo hilo na litangazwe duniani kote.

       6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,

      Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”

  • Zekaria 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni;+ kwa maana ninakuja,+ nami nitakaa kati yako,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki