Isaya 60:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa wale waliokukandamiza watakuja na kuinama chini mbele yako;Wote wanaokudharau watainama chini miguuni pako,Nao watalazimika kukuita jiji la Yehova,Sayuni la Mtakatifu wa Israeli.+ Zekaria 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova atatoka na kupigana vita na mataifa hayo+ kama anavyopigana katika siku ya vita.+
14 Wana wa wale waliokukandamiza watakuja na kuinama chini mbele yako;Wote wanaokudharau watainama chini miguuni pako,Nao watalazimika kukuita jiji la Yehova,Sayuni la Mtakatifu wa Israeli.+