-
Zekaria 14:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Nitayakusanya mataifa yote ili yapigane vita na Yerusalemu; na jiji hilo litatekwa na nyumba zitaporwa na wanawake watabakwa. Na nusu ya wakaaji wa jiji hilo watapelekwa uhamishoni, lakini watakaobaki jijini hawataangamizwa.
3 “Yehova atatoka na kupigana vita na mataifa hayo+ kama anavyopigana katika siku ya vita.+
-