16 Alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea ndugu yake+ wakishusha nyavu zao baharini,+ kwa maana walikuwa wavuvi.+ 17 Basi Yesu akawaambia: “Nifuateni, nami nitawafanya muwe wavuvi wa watu.”+ 18 Mara moja wakaziacha nyavu zao na kumfuata.+