-
Luka 6:41, 42Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
41 Basi, kwa nini unautazama unyasi ulio katika jicho la ndugu yako lakini hutambui boriti lililo katika jicho lako mwenyewe?+ 42 Unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, niruhusu niutoe unyasi ulio katika jicho lako,’ wakati wewe mwenyewe huoni boriti lililo katika jicho lako? Mnafiki! Kwanza toa boriti katika jicho lako, kisha utaona vizuri jinsi ya kuutoa unyasi ulio katika jicho la ndugu yako.
-