Marko 1:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ndipo akamsikitikia, akanyoosha mkono wake, akamgusa na kumwambia: “Ninataka! Takasika.”+ Luka 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.” Mara moja ule ukoma ukaisha.+
13 Basi Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.” Mara moja ule ukoma ukaisha.+