Mathayo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Isitoshe, baada ya kuondoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali, Marko 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, baada ya siku kadhaa Yesu akarudi tena Kapernaumu na watu wakasikia kwamba yuko nyumbani.+
13 Isitoshe, baada ya kuondoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,
2 Hata hivyo, baada ya siku kadhaa Yesu akarudi tena Kapernaumu na watu wakasikia kwamba yuko nyumbani.+