Mathayo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini hakufanya ngono naye mpaka alipozaa mwana,+ kisha Yosefu akamwita jina Yesu.+ Luka 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tazama! utapata mimba* na kuzaa mwana+ nawe utamwita Yesu.+