Mwanzo 38:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini mara tu alipourudisha mkono wake, ndugu yake akatoka, mkunga akasema kwa mshangao: “Lo! Umejipasulia njia!” Basi akapewa jina Perezi.*+ 30 Kisha ndugu yake aliyefungwa uzi mwekundu mkononi akatoka, akapewa jina Zera.+
29 Lakini mara tu alipourudisha mkono wake, ndugu yake akatoka, mkunga akasema kwa mshangao: “Lo! Umejipasulia njia!” Basi akapewa jina Perezi.*+ 30 Kisha ndugu yake aliyefungwa uzi mwekundu mkononi akatoka, akapewa jina Zera.+