Waroma 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upendo haumfanyii uovu jirani;+ kwa hiyo, upendo ndio utimizo wa sheria.+ Wagalatia 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri hii moja: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+
14 Kwa maana Sheria nzima imetimizwa* katika amri hii moja: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+