Luka 19:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akasema: “Mtu fulani wa familia mashuhuri alitaka kusafiri kwenda nchi ya mbali+ ili apokee mamlaka ya kifalme kisha arudi. 13 Akawaita kumi kati ya watumwa wake akawapa mina* kumi na kuwaambia, ‘Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.’+
12 Basi akasema: “Mtu fulani wa familia mashuhuri alitaka kusafiri kwenda nchi ya mbali+ ili apokee mamlaka ya kifalme kisha arudi. 13 Akawaita kumi kati ya watumwa wake akawapa mina* kumi na kuwaambia, ‘Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.’+