Kutoka 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, jioni, mnapaswa kula mikate isiyo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi huo, jioni.+ Kutoka 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Utaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Utakula mikate isiyo na chachu kwa siku saba, kama nilivyokuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,*+ kwa sababu ulitoka Misri wakati huo. Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.+ Luka 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu, inayoitwa, Pasaka,+ ilikuwa imekaribia.+
18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, jioni, mnapaswa kula mikate isiyo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi huo, jioni.+
15 Utaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Utakula mikate isiyo na chachu kwa siku saba, kama nilivyokuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,*+ kwa sababu ulitoka Misri wakati huo. Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.+