Kumbukumbu la Torati 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo aliwanyenyekeza na kuwaacha mkae njaa,+ naye akawalisha mana,+ ambayo ninyi wala baba zenu hamkuwa mmeijua, ili awafundishe kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali huishi kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.+
3 Kwa hiyo aliwanyenyekeza na kuwaacha mkae njaa,+ naye akawalisha mana,+ ambayo ninyi wala baba zenu hamkuwa mmeijua, ili awafundishe kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali huishi kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.+